Genesis 42:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Huyo mtu aliye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yule bwana wa nchi hiyo ametuambia maneno magumu, akatusingizia kuwa watu wa kuipeleleza nchi hiyo,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mukubwa wa inchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutuona kwamba sisi ni wapelelezi katika inchi yake.