Genesis 42:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini sisi tulimweleza kuwa sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukamwambia, Tu watu wa kweli sisi, wala si wapelelezi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini sisi tulimweleza kuwa sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukamwambia, Tu watu wa kweli sisi, wala si wapelelezi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini sisi tulimweleza kuwa sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
tukamwambia: Sisi tu watu wa kweli, hatujawa bado wapelelezi;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukamwambia, Tu watu wa kweli sisi, wala si wapelelezi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini sisi tukamwelezea kwamba sisi ni watu waaminifu na wala si wapelelezi.