Genesis 43:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tumeleta na fedha nyingine kununulia chakula. Hatujui ni nani aliyeweka fedha yetu katika magunia yetu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nasi tumeleta fedha nyingine mikononi mwetu ili tununue chakula; hatujui ni nani aliyezitia fedha zetu katika magunia yetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tumeleta na fedha nyingine kununulia chakula. Hatujui ni nani aliyeweka fedha yetu katika magunia yetu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nasi tumeleta fedha nyingine mikononi mwetu ili tununue chakula; hatujui ni nani aliyezitia fedha zetu katika magunia yetu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tumeleta na fedha nyingine kununulia chakula. Hatujui ni nani aliyeweka fedha yetu katika magunia yetu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nazo fedha nyingine tumetelemka nazo mikononi mwetu za kununua vilaji; hatumjui aliyeziweka hizo fedha zetu katika magunia yetu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nasi tumeleta fedha nyingine mikononi mwetu ili tununue chakula; hatujui ni nani aliyezitia fedha zetu katika magunia yetu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tumeleta na feza ingine kwa kununua chakula. Hatujui ni nani aliyeweka feza yetu katika mifuko yetu.”