Genesis 43:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wakatayarisha zawadi zao za kumpa Yosefu, kwa sababu walisikia kuwa watakula pamoja naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yusufu atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaiweka tayari ile zawadi hata atakapokuja Yusufu adhuhuri, maana wamesikia ya kwamba watakula chakula huko.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wakatayarisha zawadi zao za kumpa Yosefu, kwa sababu walisikia kuwa watakula pamoja naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefu wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yusufu wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaiweka tayari ile zawadi hadi atakapokuja Yusufu adhuhuri, maana wamesikia ya kwamba watakula chakula huko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wakatayarisha zawadi zao za kumpa Yosefu, kwa sababu walisikia kuwa watakula pamoja naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakayatengeneza matunzo yao, mpaka Yosefu akaja saa sita, kwani walisikia, ya kuwa watakula chakula huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaiweka tayari ile zawadi hata atakapokuja Yusufu adhuhuri, maana wamesikia ya kwamba watakula chakula huko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakatayarisha zawadi zao za kumupa Yosefu, kwa sababu walisikia kwamba watakula pamoja naye.