Genesis 43:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakamjibu, “Mtumishi wako, baba yetu, hajambo na angali hai.” Kisha wakainama kwa heshima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakamjibu, “Mtumishi wako, baba yetu, bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama, wakamsujudia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Mtumwa wako baba yetu hajambo, angali hai; wakainama, wakasujudu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakamjibu, “Mtumishi wako, baba yetu, hajambo na angali hai.” Kisha wakainama kwa heshima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakamjibu, “Mtumishi wako baba yetu bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama chini kumpa heshima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakamjibu, “Mtumishi wako baba yetu bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama chini kumpa heshima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakasema, Mtumishi wako baba yetu hajambo, angali hai; wakainama, wakasujudu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakamjibu, “Mtumishi wako, baba yetu, hajambo na angali hai.” Kisha wakainama kwa heshima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakamwambia: Mtumwa wako baba yetu hajambo, yuko mzima bado; kisha wakamwinamia na kumwangukia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Mtumwa wako baba yetu hajambo, angali hai; wakainama, wakasujudu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakamujibu: “Mutumishi wako, baba yetu, yuko salama na angali muzima.” Kisha wakainama kwa heshima.