Genesis 43:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kunawa uso wake, akarudi; huku akijizuia kulia, akasema, “Pakueni chakula.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akanawa uso, akatoka, akajizuia, akasema, Leteni chakula.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akanawa uso, akatoka, akajizuia, akasema, Leteni chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kuunawa uso wake, akawatokea tena na kutulia kwa kujizuia, akaagiza: Leteni chakula!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akanawa uso, akatoka, akajizuia, akasema, Leteni chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha kunawa uso wake, akatoka, akijikaza, akaamuru wamuletee chakula.