Genesis 43:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Israeli akasema, “Kwa nini mkanitia taabuni kwa kumwambia huyo mtu kwamba mnaye ndugu mwingine?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Israeli akasema, Mbona mmenitendea vibaya hata mkamwarifu mtu yule ya kwamba mna ndugu mwingine?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Israeli akasema, “Kwa nini mkanitia taabuni kwa kumwambia huyo mtu kwamba mnaye ndugu mwingine?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Israeli akasema, Mbona mmenitendea vibaya hata mkamwarifu mtu yule ya kwamba mna ndugu mwingine?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Israeli akasema, “Kwa nini mkanitia taabuni kwa kumwambia huyo mtu kwamba mnaye ndugu mwingine?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Isiraeli aliposema: Kwa nini mmenifanyizia haya mabaya ya kumpasha yule mtu habari, ya kuwa yuko ndugu yenu mwingine?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Israeli akasema, Mbona mmenitendea vibaya hata mkamwarifu mtu yule ya kwamba mna ndugu mwingine?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Israeli akasema: “Kwa nini mulinitia katika taabu kwa kumwambia yule mutu kwamba muko na ndugu mwingine?”