Genesis 44:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo wakayararua mavazi yao kwa huzuni. Kila mmoja wao akambebesha punda wake mzigo wake, wakarudi mjini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hilo, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda wao na kurudi mjini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakararua nguo zao, wakaweka kila mtu mzigo wake juu ya punda wake, wakarudi mjini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo wakayararua mavazi yao kwa huzuni. Kila mmoja wao akambebesha punda wake mzigo wake, wakarudi mjini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa jambo hili, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda zao na kurudi mjini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa jambo hili, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda zao na kurudi mjini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakararua nguo zao, wakaweka kila mtu mzigo wake juu ya punda wake, wakarudi mjini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo wakayararua mavazi yao kwa huzuni. Kila mmoja wao akambebesha punda wake mzigo wake, wakarudi mjini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wote walipozirarua nguo zao, wakawachukuza tena kila mtu punda wake mzigo ake, wakarudi mjini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakararua nguo zao, wakaweka kila mtu mzigo wake juu ya punda wake, wakarudi mjini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo wakararua nguo zao kwa huzuni. Kila mumoja wao akamubebesha punda wake muzigo wake, wakarudi kwa muji.