Genesis 44:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukakuambia, bwana wangu, Kijana hawezi kumwacha babaye, maana akimwacha babaye, babaye atakufa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukakuambia, bwana wangu, Kijana hawezi kumwacha babaye, maana akimwacha babaye, babaye atakufa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nasi tukamwambia bwana wangu: Huyu kijana hataweza kumwacha baba yake; akimwacha baba yake, huyo atakufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukakuambia, bwana wangu, Kijana hawezi kumwacha babaye, maana akimwacha babaye, babaye atakufa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tukakuelezea kwamba yule kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.