Genesis 44:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama mtamchukua huyu pia kutoka kwangu, akipatwa na madhara basi, mtanishusha kuzimu nikiwa mzee mwenye huzuni.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mkiniondolea huyu naye, na madhara yakimpata, mtashusha mvi zangu na msiba kaburini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama mtamchukua huyu pia kutoka kwangu, akipatwa na madhara basi, mtanishusha kuzimu nikiwa mzee mwenye huzuni.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mkiniondolea huyu naye, na madhara yakimpata, mtashusha mvi zangu kwa msiba kaburini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama mtamchukua huyu pia kutoka kwangu, akipatwa na madhara basi, mtanishusha kuzimu nikiwa mzee mwenye huzuni.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa mkimchukua huyu naye na kumtoa kwangu, akipatwwa na kibaya njiani, mtanisukuma mimi mwenye mvi kushuka kuzimuni kwa kuyaona hayo mabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mkiniondolea huyu naye, na madhara yakimpata, mtashusha mvi zangu na msiba kaburini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mutamupeleka huyu vilevile kutoka kwangu, akipatwa na hasara, basi mutanishusha katika kaburi nikiwa muzee mwenye huzuni.’