Genesis 44:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
itakuwa atakapoona ya kwamba huyu kijana hayuko, atakufa; na watumwa wako watashusha mvi za mtumwa wako, baba yetu, kwa huzuni kaburini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
itakuwa atakapoona ya kwamba huyu kijana hayuko, atakufa; na watumwa wako watashusha mvi za mtumwa wako, baba yetu, kwa huzuni kaburini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
baba akaona, ya kuwa hayuko, angekufa papo hapo, nasi watumwa wako tungekuwa tunamsukuma mtumwa wako, baba yetu, mwenye mvi kushuka kuzimuni na kusikitika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
itakuwa atakapoona ya kwamba huyu kijana hayuko, atakufa; na watumwa wako watashusha mvi za mtumwa wako, baba yetu, kwa huzuni kaburini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako tutamwua baba yetu kwa huzuni.