Genesis 45:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo, ndugu zake wakazungumza naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao kaka zake wote akanoneana nao pamoja na kulia machozi; kisha kaka zake wakaongea naye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akiwa angali analia, Yosefu akawakumbatia wandugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo wandugu zake walipoweza kuzungumuza naye.