Genesis 45:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waambie pia wachukue kutoka hapa magari ya kukokotwa ya kuwaleta watoto wao wachanga na wake zao na wala wasikose kumleta baba yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe umeamriwa; fanyeni hivi, mjitwalie magari katika nchi ya Misri kwa watoto wenu wadogo na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waambie pia wachukue kutoka hapa magari ya kukokotwa ya kuwaleta watoto wao wachanga na wake zao na wala wasikose kumleta baba yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri, kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri, kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe umeamriwa; fanyeni hivi, mjitwalie magari katika nchi ya Misri kwa watoto wenu wadogo na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waambie pia wachukue kutoka hapa magari ya kukokotwa ya kuwaleta watoto wao wachanga na wake zao na wala wasikose kumleta baba yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wewe umekwisha kuagizwa, uwaambie: Fanyeni hivi: jichukulieni huku katika nchi ya Misri magari ya kuwachukulia watoto wenu na wake zenu! Naye baba yenu mchukueni, mje naye!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe umeamriwa; fanyeni hivi, mjitwalie magari katika nchi ya Misri kwa watoto wenu wadogo na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uwaambie vilevile wapeleke kutoka hapa magari ya kukokotwa ya kuwaleta watoto wao wachanga na wake zao. Wala wasikose kumuleta baba yao.