Genesis 45:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipoagana na ndugu zake, waende zao, akawaambia: Msigombane njiani!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Yosefu akaagana na wandugu zake. Walipokuwa wanaondoka akawaonya akisema: “Musigombane katika njia!”