Genesis 45:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wakatoka Misri na kurudi nyumbani kwa baba yao Yakobo, nchini Kanaani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wakatoka Misri na kurudi nyumbani kwa baba yao Yakobo, nchini Kanaani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wakatoka Misri na kurudi nyumbani kwa baba yao Yakobo, nchini Kanaani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndivyo, walivyotoka Misri, wapande kwenda katika nchi ya Kanaani kwa baba yao Yakobo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, wakatoka Misri na kurudi kwa baba yao Yakobo, katika inchi ya Kanana.