Genesis 46:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yusufu na Benyamini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa Raheli, mkewe Yakobo Yusufu na Benyamini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yosefu na Benyamini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yusufu na Benyamini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, Yusufu na Benyamini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Raheli, mkewe Yakobo, ni Yosefu na Benyamini
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa Raheli, mkewe Yakobo Yusufu na Benyamini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Rakeli alimuzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benjamina.