Genesis 46:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko Misri, Asenathi, binti Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efraimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huko Misri, Asenathi binti Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yusufu wana wawili: Manase na Efraimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walizaliwa kwake Yusufu katika nchi ya Misri, Manase na Efraimu, aliomzalia Asenathi binti Potifera, kuhani wa Oni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko Misri, Asenathi, binti Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efraimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yusufu wana wawili, Manase na Efraimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walizaliwa kwake Yusufu katika nchi ya Misri, Manase na Efraimu, aliomzalia Asenathi binti Potifera, kuhani wa Oni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko Misri, Asenathi, binti Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efraimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Yosefu katika nchi ya Misri alizaliwa Manase na Efuraimu; ndio, aliomzalia Asenati, binti Potifera, mtambikaji wa Oni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walizaliwa kwake Yusufu katika nchi ya Misri, Manase na Efraimu, aliomzalia Asenathi binti Potifera, kuhani wa Oni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kule Misri, Asenati binti ya Potifera, aliyekuwa kuhani wa muji wa Oni, alimuzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efuraimu.