Genesis 46:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hao kumi na wanne ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Raheli, mkewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hao ndio wana wa Raheli, aliomzalia Yakobo, nafsi zote walikuwa kumi na wanne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hao kumi na wanne ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Raheli, mkewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hao ndio wana wa Raheli, aliomzalia Yakobo, wote walikuwa watu kumi na wanne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hao kumi na wanne ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Raheli, mkewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio wana wa Raheli, Yakobo aliozaliwa; wote pamoja ni watu 14.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hao ndio wana wa Raheli, aliomzalia Yakobo, nafsi zote walikuwa kumi na wanne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu hao kumi na wane ni wazao wa Yakobo na muke wake Rakeli.