Genesis 46:33 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Farao atakapowaita na kuwauliza, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Farao akiwaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Farao atakapowaita na kuwauliza: Kazi yenu nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Itakuwa Farao atakapowaita, na kuwauliza, Kazi yenu ni nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mufalme akiwaita na kuwauliza: ‘Kazi yenu ni nini?’