Genesis 48:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, na awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya wazee wangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi duniani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Malaika ambaye aliniokoa kutoka madhara yote, yeye na awabariki vijana hawa. Na waitwe kwa jina langu na kwa majina ya baba zangu Ibrahimu na Isaka, wao na waongezeke kwa wingi katika dunia.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Ibrahimu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, na awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya wazee wangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi duniani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Malaika ambaye aliniokoa kutoka katika madhara yote, yeye na awabariki vijana hawa. Na waitwe kwa jina langu na kwa majina ya baba zangu Abrahamu na Isaki, wao na waongezeke kwa wingi katika dunia.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Malaika ambaye aliniokoa kutoka madhara yote, yeye na awabariki vijana hawa. Na waitwe kwa jina langu na kwa majina ya baba zangu Ibrahimu na Isaka, wao na waongezeke kwa wingi katika dunia.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, na awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya wazee wangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi duniani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye malaika aliyenikomboa katika mabaya yote na awabariki hawa vijana, jina langu nayo majina ya baba zangu Aburahamu na Isaka yatajwe kwao, wawe wengi sana katika nchi hii!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Ibrahimu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na malaika ambaye aliniokoa katika mabaya yote, awabariki vijana hawa! Jina langu na majina ya babu zangu, Abrahamu na Isaka, yadumishwe katika vijana hawa; nao waongezeke kwa wingi katika dunia.”