Genesis 48:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini, watoto utakaopata baadaye watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wazao wako utakaozaa baada ya hawa watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini, watoto utakaopata baadaye watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wazao wako utakaozaa baada ya hawa watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini, watoto utakaopata baadaye watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nao wanao wengine, utakaowazaa nyuma yao, watakuwa wako; lakini wale wataitwa pamoja na majina ya ndugu zao, wagawiwe nao mafungu yao ya nchi yatakayokuwa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wazao wako utakaozaa baada ya hawa watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini, watoto utakaopata nyuma watakuwa wako, kwa jina la wandugu zao wataitwa katika urizi wao.