Genesis 49:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Zabuloni ataishi pwani ya bahari na kuwa bandari za kuegesha meli; mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Zabuloni ataishi pwani ya bahari na kuwa bandari za kuegesha meli; mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Zabuloni ataishi pwani ya bahari na kuwa bandari za kuegesha meli; mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Zebuluni ataishi sehemu za pwani, pwani yake itakuwa mahali pa kuegesha meli. Nchi yake itapakana na Sidoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Zebuluni atakaa pwani, Bahari Kubwa iliko, huko pwani, merikebu zinakofikia, apakane nao Wasidoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Zebuluni ataishi pembeni ya bahari, kivuko chake kitakuwa pahali pa kuegesha mashua. Mupaka wa inchi yake ni Sidona.