Genesis 49:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya mizigo yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Isakari ni punda mwenye nguvu ambaye amelala kati ya mizigo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya mizigo yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Isakari ni punda mwenye nguvu ambaye amelala kati ya mizigo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Isakari ni punda mwenye nguvu ambaye amelala kati ya mizigo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya mizigo yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Isakari ni punda mwenye mifupa migumu, hupenda kulala, katikati ya mazizi ya kondoo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Isakari ni kama punda mwenye nguvu, anayejilaza kati ya mizigo yake.