Genesis 49:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Gadi atashambuliwa na wanyanganyi, lakini yeye atawafuata nyuma na kuwashambulia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji, lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Gadi atashambuliwa na wanyang'anyi, lakini yeye atawafuata nyuma na kuwashambulia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji, lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji, lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Gadi atashambuliwa na wanyanganyi, lakini yeye atawafuata nyuma na kuwashambulia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Gadi atashambuliwa na vikosi vya vita, lakini naye atawashambulia na kuwanyatia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Gadi atashambuliwa na wanyanganyi, lakini yeye atawafuata nyuma na kuwashambulia.