Genesis 49:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kinachomfaa mfalme.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ardhi ya Asheri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kimfaacho mfalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwake Aseri ndiko, vyakula vya manono vitakakotoka, naye ndiye atakayewapatia wafalme vyakula vya urembo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Inchi ya Aseri itatoa mavuno kwa wingi, naye atatoa chakula kinachofaa kwa mufalme.