Genesis 49:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Benyamini ni mbwamwitu mkali; asubuhi hula mawindo yake, na jioni hugawa nyara.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Benyamini ni mbwa-mwitu mwenye njaa kuu; asubuhi hurarua mawindo yake, jioni hugawa nyara.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Benyamini ni mbwa-mwitu mwenye kurarua-rarua Asubuhi atakula mawindo, Na jioni atagawanya mateka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Benyamini ni mbwamwitu mkali; asubuhi hula mawindo yake, na jioni hugawa nyara.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa kuu; asubuhi hurarua mawindo yake, jioni hugawa nyara.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa kuu; asubuhi hurarua mawindo yake, jioni hugawa nyara.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Benyamini ni mbwamwitu mwenye kuraruararua Asubuhi atakula mawindo, Na jioni atagawanya mateka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Benyamini ni mbwamwitu mkali; asubuhi hula mawindo yake, na jioni hugawa nyara.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Benyamini ni mbwa wa mwitu mwenye uchu wa damu, asubuhi hula mawindo, jioni hugawanya mateka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Benyamini ni mbwa-mwitu mwenye kurarua-rarua Asubuhi atakula mawindo, Na jioni atagawanya mateka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Benjamina ni imbwa mwitu mukali, asubui anakula mawindo yake, na magaribi anagawanya vitu alivyonyanganya.”