Genesis 49:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko ndiko walikozikwa Abrahamu na mkewe Sara; huko ndiko walikozikwa Isaka na mkewe Rebeka; na huko ndiko nilikomzika Lea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huko ndiko Ibrahimu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaka na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Humo walimzika Ibrahimu, na Sara mkewe; humo wakamzika Isaka, na Rebeka mkewe; nami humo nikamzika Lea;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko ndiko walikozikwa Abrahamu na mkewe Sara; huko ndiko walikozikwa Isaka na mkewe Rebeka; na huko ndiko nilikomzika Lea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huko ndiko Abrahamu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huko ndiko Ibrahimu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaka na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Humo walimzika Abrahamu, na Sara mkewe; humo wakamzika Isaka, na Rebeka mkewe; nami humo nikamzika Lea;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko ndiko walikozikwa Abrahamu na mkewe Sara; huko ndiko walikozikwa Isaka na mkewe Rebeka; na huko ndiko nilikomzika Lea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mle pangoni ndimo, walimomzika Aburahamu na mkewe Sara, naye Isaka na mkewe Rebeka waliwazika humo, naye Lea nilimzika humo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Humo walimzika Ibrahimu, na Sara mkewe; humo wakamzika Isaka, na Rebeka mkewe; nami humo nikamzika Lea;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kule ndiko walikozikwa Abrahamu na muke wake Sara, kule ndiko walikozika Isaka na muke wake Rebeka, na kule ndiko nilikomuzika Lea.