Genesis 49:32 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shamba hilo na pango lililo ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
shamba na pango iliyomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
shamba na pango lililomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndilo lile shamba lililonunuliwa kwa wana wa Hiti pamoja na lile pango lililoko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
shamba na pango iliyomo lililonunuliwa kwa wazawa wa Hethi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”