Genesis 49:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Simeoni na Lawi ni ndugu: Silaha zao wanatumia kufanya ukatili,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Simeoni na Lawi ni ndugu: panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Simeoni na Lawi ni ndugu; Panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Simeoni na Lawi ni ndugu: silaha zao wanatumia kufanya ukatili,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Simeoni na Lawi ni wana ndugu: panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Simeoni na Lawi ni wana ndugu: panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Simeoni na Lawi ni ndugu; Panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Simeoni na Lawi ni ndugu: Silaha zao wanatumia kufanya ukatili,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Simeoni na Lawi ni ndugu kweli, panga zao ni vyombo vya ukorofi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Simeoni na Lawi ni ndugu; Panga zao ni silaha za jeuri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Simeoni na Lawi ni wandugu: wanatumia silaha zao kutesa kwa ukali,