Genesis 5:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kenani alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Mahalaleli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kenani alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Mahalaleli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kenani alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Mahalaleli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kenani alikuwa mwenye miaka 70 alimpomzaa Mahalaleli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati Kenani alipokuwa na umri wa miaka makumi saba, akazaa Mahalaleli.