Genesis 5:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Yaredi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Yaredi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mahalaleli alikuwa mwenye miaka 65 alipomzaa Yaredi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka makumi sita na mitano, akazaa Yaredi.