Genesis 5:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Idrisi alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Idrisi alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Henoki alipokuwa na umri wa miaka 65, alimzaa Methusela.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Henoki alikuwa mwenye miaka 65 alipomzaa Metusela.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati Enoki alipokuwa na umri wa miaka makumi sita na mitano, akazaa Metusela.