Genesis 5:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Idrisi akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Idrisi akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa Henoki alifanya mwenendo wa kushikana na Mungu, mara akawa hayuko tena, kwani Mungu alimchukua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alikuwa akishirikiana na Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimupeleka.