Genesis 5:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Enoshi alipokuwa na umri wa miaka 90, alimzaa Kenani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Enosi alikuwa mwenye miaka 90 alipomzaa Kenani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati Enosi alipokuwa na umri wa miaka makumi tisa, akazaa Kenani.