Genesis 50:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wanawe wakamfanyia kama alivyo waagiza;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wanawe wakamfanyia kama alivyowaagiza;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wana wa Yakobo walimfanyia baba yao kama alivyowaagiza:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha wanawe wakayafanya yayo hayo, aliyowaagiza:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wanawe wakamfanyia kama alivyo waagiza;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Yakobo walimufanyia baba yao kama vile alivyowaagiza: