Genesis 50:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha ndugu zake wakamjia, wakainama mpaka chini mbele yake, wakasema, “Tazama, sisi tu watumishi wako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nduguze wakaenda tena, wakamwangukia miguu, wakasema, Tazama, sisi tu watumwa wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha ndugu zake wakamjia, wakainama mpaka chini mbele yake, wakasema, “Tazama, sisi tu watumishi wako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndugu zake wakaenda tena, wakamwangukia miguuni, wakasema, Tazama, sisi tu watumishi wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha ndugu zake wakamjia, wakainama mpaka chini mbele yake, wakasema, “Tazama, sisi tu watumishi wako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha kaka zake wenyewe wakaenda, wakamwangukia na kumwambia: Sisi hapa tu watumwa wako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nduguze wakaenda tena, wakamwangukia miguu, wakasema, Tazama, sisi tu watumwa wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha wandugu zake wakamufikia, wakainama mpaka chini mbele yake, wakasema: “Sisi ni watumishi wako.”