Genesis 50:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama kawaida, siku arubaini zilihitajika kwa kazi hiyo. Wamisri nao wakaomboleza kifo cha Yakobo kwa muda wa siku sabini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakatumia siku arobaini, muda uliohitajika kutia dawa asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku zake arobaini zikaisha, maana hivyo hutimizwa siku za kupaka dawa. Wamisri wakamlilia siku sabini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama kawaida, siku arubaini zilihitajika kwa kazi hiyo. Wamisri nao wakaomboleza kifo cha Yakobo kwa muda wa siku sabini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku zake arobaini zikaisha, maana siku hizo zilitimiza siku za wale waliohifadhiwa kwa kupakwa dawa. Wamisri wakamwombolezea siku sabini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama kawaida, siku arubaini zilihitajika kwa kazi hiyo. Wamisri nao wakaomboleza kifo cha Yakobo kwa muda wa siku sabini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mpaka siku 40 zikitimia, kwani kuzitimiza hizo siku ndio desturi ya kupaka manukato. Nao Wamisri akamwombolezea siku 70.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku zake arobaini zikaisha, maana hivyo hutimizwa siku za kupaka dawa. Wamisri wakamlilia siku sabini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama kawaida, siku makumi ine zilihitajika kwa kazi hiyo. Wamisri nao wakaomboleza kifo cha Yakobo kwa muda wa siku makumi saba.