Genesis 9:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nuhu akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nuhu akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Noa alikuwa mkulima wa kwanza. Alilima shamba la mizabibu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Noa alipoanza kulima shamba, akapanda shamba la mizabibu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Noa alikuwa mulimaji wa kwanza kupanda mizabibu.