Habakkuk 2:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani majiwe yaliyomo ukutani yatapiga kelele, nayo miti ya kipaga itaitikia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndiyo maana hata mawe yatalalamika juu ya ukuta, na miti ya nyumba itayaunga mukono.