Habakkuk 3:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niliwaona watu wa Kushani wakiteseka, na watu wa Midiani wakitetemeka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliona watu wa Kushani katika dhiki, na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naliziona hema za Kushani katika taabu; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niliwaona watu wa Kushani wakiteseka, na watu wa Midiani wakitetemeka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliona watu wa Kushani katika dhiki, na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliona watu wa Kushani katika dhiki, na makazi ya Midiani katika maumivu makali.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Niliziona hema za Kushani zikitaabika; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niliwaona watu wa Kushani wakiteseka, na watu wa Midiani wakitetemeka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vijumba vya Wanubi niliviona vyenye shida, nayo mahema ya nchi ya Midiani yakatikisika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naliziona hema za Kushani katika taabu; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niliwaona watu wa Kusani wakiteseka, na watu wa Midiani wakitetemeka.