Hebrews 10:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia Roho wa Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Roho Mtakatifu pia anatuambia juu ya hili. Kwanza anasema:
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia Roho wa Mwenyezi Mungu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Roho Mtakatifu anatushuhudia hivyo. Kwani kwanza anasema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye Roho Mutakatifu anatushuhudia mambo hayo vilevile. Kwanza anasema maneno haya:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Roho Mtakatifu yatushuhudia; kwa maana, baada ya kunena,