Hebrews 10:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha anasema, “Nitazisahau dhambi zao na nisikumbuke kamwe uovu walioutenda.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akaongeza kusema: “Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sitayakumbuka tena makosa yao na mapotovu yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye anaongeza kusema: “Nami sitakumbuka tena zambi wala maovu yao.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.