Hebrews 10:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na tunaye kuhani mkuu zaidi anayeisimamia nyumba ya Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mwenyezi Mungu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo tunaye mtambikaji mkuu wa Nyumba ya Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sisi tuko na Kuhani Mukubwa anayesimamia nyumba yote ya Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na Kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;