Hebrews 10:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ni jambo la kutiisha kukutana na hukumu kutoka kwa Mungu aliye hai.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kunatia woga sana kutumbukia mikononi mwa Mungu aliye Mwenye uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuanguka katika mikono ya Mungu Mwenye Uzima ni jambo la kuogopa sana!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ni jambo la kutisba kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hayi.