Hebrews 10:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa sababu haiwezekani kwa damu ya fahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani damu za ng'ombe na za mbuzi haziwezi kuondoa makosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa sababu damu ya ngombe na ya mbuzi haiwezi kuondoa zambi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana haiyumkini damu ya mafahali na mbuzi iondoe dhambi.