Hebrews 11:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu alifurahishwa na watu walioishi muda mrefu uliopita kwa sababu walikuwa na imani ya namna hii.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naam, kwa imani baba zetu wa kale walishuhudiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani wakale walishuhudiwa kuwa wenye kumtegemea hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni kwa sababu ya imani yao babu zetu wameshuhudiwa vizuri na Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.