Hebrews 11:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Musa akakua na akawa mwanaume. Akakataa kuitwa mwana wa binti Farao. Akachagua kutokujifurahisha katika raha na dhambi zinazodumu kwa muda mfupi tu. Badala yake, akachagua kuteseka pamoja na watu wa Mungu. Alifanya hivi kwa sababu alikuwa na imani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa imani, Musa alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kumtegemea Mungu Mose alipokuwa mtu mzima alikataa kuitwa mwana wa binti Farao,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa njia ya imani, Musa alipokuwa mutu muzima, alikataa kuitwa mwana wa binti wa mufalme wa Misri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao;