Hebrews 11:36 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa mafungo, na kwa kutiwa gerezani;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wengine walichekwa na kupigwa. Wengine walifungwa na kutiwa magerezani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa minyororo, na kwa kutiwa gerezani;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wengine walijaribiwa na kufyozwa pamoja na kupigwa, wengine wakafungwa minyororo, wakatiwa vifungoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa mafungo, na kwa kutiwa gerezani;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengine walichekelewa na kupigwa fimbo, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa katika kifungo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wengine walijaribiwa kwa dhihaka na mapigo, naam, kwa mafungo, na kwa kutiwa gerezani: