Hebrews 2:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tena,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pia anasema, “Nitamwamini Mungu.” Na pia anasema, “Nipo hapa, na pamoja ni wapo watoto niliopewa na Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, mimi pamoja na watoto Mungu alionipa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mwenyezi Mungu amenipa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tena, Nitakuwa nimemtumaini yeye. Na tena, Tazama, mimi nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena asema: “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena: “Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena anasema: Mimi nitakuwa ninamwegemea yeye. Tena anasema: Tazama mimi niko pamoja na hawa watoto, Mungu alionipa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tena, Nitakuwa nimemtumaini yeye. Na tena, Tazama, mimi nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena anasema: “Nitamutumainia Mungu.” Na tena anasema: “Mimi ni hapa pamoja na watoto Mungu alionipatia.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na tena, Nitamtumaini: na tena, Tazama, mimi nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu.