Hebrews 3:11 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo nilikasirika na kuweka ahadi: ‘Kamwe hawataingia katika sehemu yangu ya pumziko.’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo nikaapa kwa hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, nilikasirika, nikaapa: ‘Hawataingia mahali pangu pa pumziko.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo nilijiapia kwa makali yangu kwamba: Hawataingia kamwe kwenye kituo changu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kama nilivyoapa katika hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.